An-Najm 53:34 واعطى قليلا واكدى ٣٤
وَأَعۡطَىٰ
قَلِيلٗا
وَأَكۡدَىٰٓ
٣٤
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia? 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na akatoa kidogo katika mali yake kisha akaacha kutoa na akakata hisani yake?