An-Nisaa 4:20 وان اردتم استبدال زوج مكان زوج واتيتم احداهن قنطارا فلا تاخذوا منه شييا اتاخذونه بهتانا واثما مبينا ٢٠
وَإِنۡ
أَرَدتُّمُ
ٱسۡتِبۡدَالَ
زَوۡجٖ
مَّكَانَ
زَوۡجٖ
وَءَاتَيۡتُمۡ
إِحۡدَىٰهُنَّ
قِنطَارٗا
فَلَا
تَأۡخُذُواْ
مِنۡهُ
شَيۡـًٔاۚ
أَتَأۡخُذُونَهُۥ
بُهۡتَٰنٗا
وَإِثۡمٗا
مُّبِينٗا
٢٠
Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali, basi msichukue katika hayo kitu chochote. Je, mtachukua kwa dhulma na kosa lilio wazi? 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na mnapotaka kubadilisha mke mahali pa mke mwengine, na mkawa mumempa yule mnayetaka kumtaliki mali mengi yakiwa ni mahari yake. Si halali kwenu kuchukua chochote katika mali hayo. Je mnayachukua kwa njia ya urongo na uzushi ulio wazi?
Na mnapotaka kubadilisha mke mahali pa mke mwengine, na mkawa mumempa yule mnayetaka kumtaliki mali mengi yakiwa ni mahari yake. Si halali kwenu kuchu…