An-Nur 24:6 والذين يرمون ازواجهم ولم يكن لهم شهداء الا انفسهم فشهادة احدهم اربع شهادات بالله انه لمن الصادقين ٦
وَٱلَّذِينَ
يَرۡمُونَ
أَزۡوَٰجَهُمۡ
وَلَمۡ
يَكُن
لَّهُمۡ
شُهَدَآءُ
إِلَّآ
أَنفُسُهُمۡ
فَشَهَٰدَةُ
أَحَدِهِمۡ
أَرۡبَعُ
شَهَٰدَٰتِۭ
بِٱللَّهِ
إِنَّهُۥ
لَمِنَ
ٱلصَّٰدِقِينَ
٦
Na wale wanao wasingizia wake zao na hawana mashahidi ila nafsi zao, basi ushahidi wa mmoja wao utakuwa kushuhudilia mara nne kwa kiapo cha Mwenyezi Mungu ya kwamba hakika yeye ni katika wasema kweli. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na wale wanaowatuhumu wake zao kwa uzinifu, na wakawa hawana mashahidi wa kutilia nguvu tuhuma yao isipokuwa wao wenyewe, basi ni juu ya mmoja wao hao wenye kutuhumu, atoe ushahidi mbele ya kadhi mara nne kwa kusema, «Ninashuhudia kwa jina la Mwenyezi Mungu kwamba mimi ni mkweli katika lile la uzini…
Na wale wanaowatuhumu wake zao kwa uzinifu, na wakawa hawana mashahidi wa kutilia nguvu tuhuma yao isipokuwa wao wenyewe, basi ni juu ya mmoja wao hao…