Ar-Rahman 55:11 فيها فاكهة والنخل ذات الاكمام ١١
فِيهَا
فَٰكِهَةٞ
وَٱلنَّخۡلُ
ذَاتُ
ٱلۡأَكۡمَامِ
١١
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Humo mna matunda na mitende yenye makarara ya matunda. Na humo kuna nafaka zenye maganda, vikiwa ni chakula chenu na wanyama wenu.