Ar-Rahman 55:22 يخرج منهما اللولو والمرجان ٢٢
يَخۡرُجُ
مِنۡهُمَا
ٱللُّؤۡلُؤُ
وَٱلۡمَرۡجَانُ
٢٢
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Inatoka kwenye bahari mbili hizo, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, lulu na marjani.