Ar-Rahman 55:39 فيوميذ لا يسال عن ذنبه انس ولا جان ٣٩
فَيَوۡمَئِذٖ
لَّا
يُسۡـَٔلُ
عَن
ذَنۢبِهِۦٓ
إِنسٞ
وَلَا
جَآنّٞ
٣٩
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Katika Siku hiyo Malaika hawatawauliza wale wahalifu, miongoni mwa binadamu na majini, kuhusu dhambi zao.