Ar-Rahman 55:41 يعرف المجرمون بسيماهم فيوخذ بالنواصي والاقدام ٤١
يُعۡرَفُ
ٱلۡمُجۡرِمُونَ
بِسِيمَٰهُمۡ
فَيُؤۡخَذُ
بِٱلنَّوَٰصِي
وَٱلۡأَقۡدَامِ
٤١
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Malaika watawajua wahalifu kwa alama zao, hapo wawashike kwenye paa za vichwa vyao na nyayo zao wawarushe Motoni.