Ar-Rahman 55:43 هاذه جهنم التي يكذب بها المجرمون ٤٣
هَٰذِهِۦ
جَهَنَّمُ
ٱلَّتِي
يُكَذِّبُ
بِهَا
ٱلۡمُجۡرِمُونَ
٤٣
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Wataambiwa hao wahalifu kwa njia ya kulaumiwa na kudhalilishwa, «Huu ndio moto wa Jahanamu ambao wahalifu duniani walikuwa wakiukanusha: