Ar-Rahman 55:60 هل جزاء الاحسان الا الاحسان ٦٠
هَلۡ
جَزَآءُ
ٱلۡإِحۡسَٰنِ
إِلَّا
ٱلۡإِحۡسَٰنُ
٦٠
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Je atakuwa na malipo yoyote, huyu aliyekuwa mwema wa matendo duniani, isipokuwa ni afanyiwe wema kwa kupewa Pepo huko Akhera?