Ar-Rum 30:12 ويوم تقوم الساعة يبلس المجرمون ١٢
وَيَوۡمَ
تَقُومُ
ٱلسَّاعَةُ
يُبۡلِسُ
ٱلۡمُجۡرِمُونَ
١٢
Na itapo simama Saa wakosefu watakata tamaa.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na Siku ambayo Kiyama kitasimama wahalifu watakata tamaa ya kuokoka na adhabu, na utawapata wao mshangao utakaokata hoja zao.