Ar-Rum 30:14 ويوم تقوم الساعة يوميذ يتفرقون ١٤
وَيَوۡمَ
تَقُومُ
ٱلسَّاعَةُ
يَوۡمَئِذٖ
يَتَفَرَّقُونَ
١٤
Na siku itapo simama Saa, siku hiyo watagawanyika.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na Siku ambayo Kiyama kitasimama, watatengana watu wa Imani na watu wa ukafiri,