As-Saaffat 37:120 سلام على موسى وهارون ١٢٠
سَلَٰمٌ
عَلَىٰ
مُوسَىٰ
وَهَٰرُونَ
١٢٠
Iwe salama kwa Musa na Haruni!. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Maamkizi kwa Mūsā na Hārūn kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na sifa njema na kuwaombea wao wasalimike na kila dhara.