As-Saaffat 37:124 اذ قال لقومه الا تتقون ١٢٤
إِذۡ
قَالَ
لِقَوۡمِهِۦٓ
أَلَا
تَتَّقُونَ
١٢٤
Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kumbuka na utaja pindi aliposema kuwaambia watu wake, kati ya Wana wa Isrāīl, «Mcheni Mwenyezi Mungu, Peke Yake, na mumuogope, na msimshirikishe mwengine pamoja na Yeye.
Kumbuka na utaja pindi aliposema kuwaambia watu wake, kati ya Wana wa Isrāīl, «Mcheni Mwenyezi Mungu, Peke Yake, na mumuogope, na msimshirikishe mweng…