As-Saaffat 37:14 واذا راوا اية يستسخرون ١٤
وَإِذَا
رَأَوۡاْ
ءَايَةٗ
يَسۡتَسۡخِرُونَ
١٤
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na wanapoiona miujiza yenye kutolea dalili unabii wako, wanakufanyia shere na wanastaajabu.