As-Saaffat 37:140 اذ ابق الى الفلك المشحون ١٤٠
إِذۡ
أَبَقَ
إِلَى
ٱلۡفُلۡكِ
ٱلۡمَشۡحُونِ
١٤٠
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Alipokimbia kutoka mji wake, akiwa na hasira juu ya watu wake, akapanda jahazi iliyojaa abiria na vyombo.