As-Saaffat 37:171 ولقد سبقت كلمتنا لعبادنا المرسلين ١٧١
وَلَقَدۡ
سَبَقَتۡ
كَلِمَتُنَا
لِعِبَادِنَا
ٱلۡمُرۡسَلِينَ
١٧١
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kwa hakika lishatangulia neno letu, ambalo halina namna ya kurudi, la kuwaahidi waja wetu waliopewa utume