As-Saaffat 37:24 وقفوهم انهم مسيولون ٢٤
وَقِفُوهُمۡۖ
إِنَّهُم
مَّسۡـُٔولُونَ
٢٤
Na wasimamisheni. Hakika hao watasailiwa: 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Na muwafunge kabla hawajafika kwenye moto wa Jahanamu, kwa kuwa wao ni wenye kuulizwa kuhusu matendo yao na maneno yao yaliyotokana na wao duniani, kwa namna ya kumshtukia kuwakaripia.»
«Na muwafunge kabla hawajafika kwenye moto wa Jahanamu, kwa kuwa wao ni wenye kuulizwa kuhusu matendo yao na maneno yao yaliyotokana na wao duniani, k…