As-Saaffat 37:78 وتركنا عليه في الاخرين ٧٨
وَتَرَكۡنَا
عَلَيۡهِ
فِي
ٱلۡأٓخِرِينَ
٧٨
Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na tukamuwekea utajo mwema na sifa nzuri kwa watu waliokuja baada yake wakawa wanamtaja nazo.