As-Saaffat 37:82 ثم اغرقنا الاخرين ٨٢
ثُمَّ
أَغۡرَقۡنَا
ٱلۡأٓخَرِينَ
٨٢
Kisha tukawazamisha wale wengine. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kisha tukawazamisha wengine, wenye kukanusha kati ya watu wake, kwa mafuriko, kisisalie chochote, miongoni mwao, hata jicho lenye kupepesa.