Ash-Shuaraa 26:108 فاتقوا الله واطيعون ١٠٨
فَٱتَّقُواْ
ٱللَّهَ
وَأَطِيعُونِ
١٠٨
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Basi ifanyeni Imani kuwa ndio kinga yenu na adhabu ya Mwenyezi Mungu, na nitiini mimi katika yale ninayowaamrisha ya kumuabudu Yeye Peke Yake,