Ash-Shuaraa 26:200 كذالك سلكناه في قلوب المجرمين ٢٠٠
كَذَٰلِكَ
سَلَكۡنَٰهُ
فِي
قُلُوبِ
ٱلۡمُجۡرِمِينَ
٢٠٠
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hivyo ndivyo tulivyotia ndani ya nyoyo za wahalifu kuikanusha Qur’ani na hilo likawa limejikita ndani ya hizo nyoyo,