Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha
9:27
ثم يتوب الله من بعد ذالك على من يشاء والله غفور رحيم ٢٧
ثُمَّ يَتُوبُ ٱللَّهُ مِنۢ بَعْدِ ذَٰلِكَ عَلَىٰ مَن يَشَآءُ ۗ وَٱللَّهُ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۭ ٢٧
ثُمَّ
يَتُوبُ
ٱللَّهُ
مِنۢ
بَعۡدِ
ذَٰلِكَ
عَلَىٰ
مَن
يَشَآءُۗ
وَٱللَّهُ
غَفُورٞ
رَّحِيمٞ
٢٧
Kisha baada ya hayo Mwenyezi Mungu atawasamehe awatakao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadithi
Na atakayerudi nyuma akaacha ukafiri wake baada ya hilo, na akaingia kwenye Uislamu, basi Mwenyezi Mungu Anaikubali toba ya Anayemtaka katika wao na Anamsamehe dhambi zake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, ni mwingi wa kurehemu.