Na awape adhabu wanaafiki wanaume na wanaafiki wanawake, na washirikina wanaume na washirikina wanawake, wanao mdhania Mwenyezi Mungu dhana mbaya. Utawafikia mgeuko mbaya, na Mwenyezi Mungu awakasirikie, na awalaani, na awaandalie Jahannamu. Na hayo ni marudio maovu kabisa.
Maelezo
These readings are very similar in meaning, though the two nouns have been explained with various nuances between them, e.g. the first (with fathah) means something flawed, while the second (with dammah) means tribulation and defeat [Makki].