Maryam 19:28 يا اخت هارون ما كان ابوك امرا سوء وما كانت امك بغيا ٢٨
يَٰٓأُخۡتَ
هَٰرُونَ
مَا
كَانَ
أَبُوكِ
ٱمۡرَأَ
سَوۡءٖ
وَمَا
كَانَتۡ
أُمُّكِ
بَغِيّٗا
٢٨
Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Ewe dada ya mtu mwema Hārūn! Babako hakuwa ni mtu mbaya anayefanya machafu, na mamako hakuwa ni mwanamke mbaya anayefanya umalaya.»