Maryam 19:31 وجعلني مباركا اين ما كنت واوصاني بالصلاة والزكاة ما دمت حيا ٣١
وَجَعَلَنِي
مُبَارَكًا
أَيۡنَ
مَا
كُنتُ
وَأَوۡصَٰنِي
بِٱلصَّلَوٰةِ
وَٱلزَّكَوٰةِ
مَا
دُمۡتُ
حَيّٗا
٣١
Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Swala na Zaka maadamu ni hai.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Na Amenifanya niwe na wingi wa wema na manufaa popote nipatikanapo, na ameniusia kutunza Swala na kutoa Zaka muda wa mimi kuwa hai.