Maryam 19:32 وبرا بوالدتي ولم يجعلني جبارا شقيا ٣٢
وَبَرَّۢا
بِوَٰلِدَتِي
وَلَمۡ
يَجۡعَلۡنِي
جَبَّارٗا
شَقِيّٗا
٣٢
Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
«Na Amenifanya mimi niwe mwenye kumtendea wema mamangu, na hakunifanya ni mwenye kujiona wala ni mbaya mwenye kumuasi Mola wangu.