Maryam 19:57 ورفعناه مكانا عليا ٥٧
وَرَفَعۡنَٰهُ
مَكَانًا
عَلِيًّا
٥٧
Na tulimuinua daraja ya juu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na tukauinua utajo wake kwa viumbe wote na cheo chake kwa wale waliosongezwa karibu. Akawa ni mwenye utajo wa juu na, ni mwenye cheo cha juu.