Maryam 19:80 ونرثه ما يقول وياتينا فردا ٨٠
وَنَرِثُهُۥ
مَا
يَقُولُ
وَيَأۡتِينَا
فَرۡدٗا
٨٠
Na tutamrithi hayo anayo yasema, na atatufikia mtupu peke yake!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na tutamrithi mali yake na watoto wake, na atatujia Siku ya Kiyama akiwa peke yake, hana mali wala watoto.