Maryam 19:95 وكلهم اتيه يوم القيامة فردا ٩٥
وَكُلُّهُمۡ
ءَاتِيهِ
يَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
فَرۡدًا
٩٥
Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na kila mtu, miongoni mwa viumbe, atamjia Mola wake, Siku ya Kiyama, hali ya kuwa hana mali wala watoto pamoja na yeye.