Yasyn 36:43 وان نشا نغرقهم فلا صريخ لهم ولا هم ينقذون ٤٣
وَإِن
نَّشَأۡ
نُغۡرِقۡهُمۡ
فَلَا
صَرِيخَ
لَهُمۡ
وَلَا
هُمۡ
يُنقَذُونَ
٤٣
Na tukitaka tunawazamisha, wala hapana wa kuwasaidia, wala hawaokolewi, 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na tukitaka tutawazamisha , w'asipate mwenye kuwasaidia wasizame, na wala wao si wenye kuokolewa na kuzama.