Yunus 10:8 اولايك ماواهم النار بما كانوا يكسبون ٨
أُوْلَٰٓئِكَ
مَأۡوَىٰهُمُ
ٱلنَّارُ
بِمَا
كَانُواْ
يَكۡسِبُونَ
٨
Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hao makao yao ni Moto wa Jahanamu huko Akhera, yakiwa ni malipo kwa yale ambayo wao walikuwa wakiyatenda katika ulimwengu wao ya madhambi na hatia.