˹so˺ eat and graze your cattle. Surely in this are signs for people of sound judgment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kuleni, enyi watu, miongoni mwa vizuri tulivyowaoteshea, na muwalishe wanyama howa wenu na wa mstuni. Kwa kweli, katika yote yaliyotajwa pana alama nyingi za uweza wa Mwenyezi Mungu na ni ulinganizi wa umoja Wake na kumpwekesha Yeye kwa kumuabudu kwa wenye akili timamu.