Moses warned the magicians, “Woe to you! Do not fabricate a lie against Allah,1 or He will wipe you out with a torment. Whoever fabricates ˹lies˺ is bound to fail.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mūsā akasema kuwaambia wachawi wa Fir'awn akiwapa mawaidha, «Jihadharini, msimzulie Mwenyezi Mungu urongo, Asije Akawamaliza nyinyi kwa adhabu itokayo Kwake na Akawaondoa kabisa. Na kwa kweli, amepata hasara mwenye kumzulia Mwenyezi Mungu urongo.»