Whoever comes to their Lord as an evildoer will certainly have Hell, where they can neither live nor die.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ukweli wa mambo ni kwamba mwenye kumjia Mola wake hali ya kuwa amemkanusha, basi atapata moto wa Jahanamu atakaoteswa nao; hatakufa humo akapumzika wala hataishi maisha ambayo atayafurahia.