And We surely inspired Moses, ˹saying,˺ “Leave with My servants ˹at night˺ and strike a dry passage for them across the sea. Have no fear of being overtaken, nor be concerned ˹of drowning˺.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na kwa hakika tulimpelekea wahyi Mūsā tukamwambia, «Toka Misri usiku ukiwa pamoja na waja wangu miongoni mwa Wana wa Isrāīl, na uwatolee njia kavu baharini, bila kumuogopa Fir'awn na askari wake kuwa watawaandama na kuwakuta na bila ya kuogopa kuzama.