But I am truly Most Forgiving to whoever repents, believes, and does good, then persists on ˹true˺ guidance.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na mimi ni Mwingi wa kusamehe kwa anayetubia kutokana na dhambi zake na ukanushaji wake, akaniamini mimi na akafanya matendo mema kisha akaongoka kufuata njia ya ukweli na akasimama imara juu yake.