The command of Allah is at hand, so do not hasten it. Glorified and Exalted is He above what they associate ˹with Him in worship˺!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kumekaribia kusimama Kiyama na kutoka amri ya Mwenyezi Mungu ya kuwaadhibu nyinyi, enyi makafiri, basi msiifanyie haraka adhabu kwa njia ya kuicheza shere ahadi ya Mtume kwenu. Na Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, Ameepukana na ushirika na washirikina.