Do not follow what you have no ˹sure˺ knowledge of. Indeed, all will be called to account for ˹their˺ hearing, sight, and intellect.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na usiyafuate, ewe binadamu, usiyoyajua, lakini hakikisha na uthibitishe. Hakika ya biadamu ni mwenye kuulizwa juu ya yale ambayo alitumia masikizi yake, maangalizi yake na moyo wake kuyafikia. Basi akivitumia vitu hivyo katika wema atapata malipo mema na akivitumia katika uovu atapata mateso.