Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Furqan 25:29

25:29
لقد اضلني عن الذكر بعد اذ جاءني وكان الشيطان للانسان خذولا ٢٩
لَّقَدْ أَضَلَّنِى عَنِ ٱلذِّكْرِ بَعْدَ إِذْ جَآءَنِى ۗ وَكَانَ ٱلشَّيْطَـٰنُ لِلْإِنسَـٰنِ خَذُولًۭا ٢٩
لَّقَدۡ
أَضَلَّنِي
عَنِ
ٱلذِّكۡرِ
بَعۡدَ
إِذۡ
جَآءَنِيۗ
وَكَانَ
ٱلشَّيۡطَٰنُ
لِلۡإِنسَٰنِ
خَذُولٗا
٢٩
It was he who truly made me stray from the Reminder after it had reached me.” And Satan has always betrayed humanity.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Amenipoteza rafiki huyu na kuniepusha na Qur’ani baada ya kunijia» Na Shetani aliyefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu amekuwa daima ni mwenye kumtupa mwanadamu. Katika aya hizi kuna onyo kwamba rafiki mbaya asifuatwe, kwani yeye huenda akawa ni sababu ya kumtia, yule anayefuatana na yeye, Motoni.