ลงชื่อเข้าใช้
ลงชื่อเข้าใช้
ลงชื่อเข้าใช้
เลือกภาษา

ตัฟซีร: Al-Furqan 25:51

25:51
ولو شينا لبعثنا في كل قرية نذيرا ٥١
وَلَوْ شِئْنَا لَبَعَثْنَا فِى كُلِّ قَرْيَةٍۢ نَّذِيرًۭا ٥١
وَلَوۡ
شِئۡنَا
لَبَعَثۡنَا
فِي
كُلِّ
قَرۡيَةٖ
نَّذِيرٗا
٥١
[51] และหากเราประสงค์ แน่นอนเราก็จะส่งผู้ตักเตือนไปยังทุก ๆ เมือง
ตัฟซีร
ชั้นต่างๆ
บทเรียน
ภาพสะท้อน
คำตอบ
กิรอต
หะดีษ
Na lau tungalitaka tungalimpeleka muonyaji katika kila mji, wa kuwalingania wao kwa Mwenyezi Mungu, Aliyeshinda na kutukuka, na kuwaonya wao adhabu Yake. Lakini tumekufanya wewe, ewe Mtume, ni mwenye kupelekwa kwa watu wote wa ardhini, na tumekuamrisha wewe uwafikishie hii Qur’ani.