And there were in the city nine ˹elite˺ men who spread corruption in the land, never doing what is right.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na katika mji wa Ṣāliḥ, nao ni mji wa Ḥijr, ulioko Kaskazini magharibi ya bara Arabu, kulikuwa na wanaume tisa, shughuli yao ni kufanya uharibifu katika ardhi usiochanganyika na wema wowote wa kutengeneza.