O humanity! Eat from what is lawful and good on the earth and do not follow Satan’s footsteps. He is truly your sworn enemy.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Enyi watu, kuleni katika riziki ya Mwenyezi Mungu, iliyoko kwenye ardhi, ile ambayo Amewahalalishia nyinyi, nayo ni iliyo tohara isiyokuwa najisi, inayonufaisha isiyodhuru wala msifuate njia za Shetani katika kuhalalisha, kuharamisha, uzushi na maasia. Hakika Yeye ni adui yenu mwenye uadui uliyo wazi.