Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Ad-Dukhan 44:28

44:28
كذالك واورثناها قوما اخرين ٢٨
كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَـٰهَا قَوْمًا ءَاخَرِينَ ٢٨
كَذَٰلِكَۖ
وَأَوۡرَثۡنَٰهَا
قَوۡمًا
ءَاخَرِينَ
٢٨
So it was. And We awarded it ˹all˺ to another people.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mfano wa mateso hayo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyowatesa wenye kukanusha na kubadilisha neema za Mwenyezi Mungu kwa kuzikanusha. Na tuliwarithisha neema hizo, baada ya Fir’awn na watu wake, watu wengine waliokuja baada yao wakashika nafasi yao miongoni mwa Wana wa Isrāīl.