They swear by Allah that they are part of you, but they are not. They only say so out of fear.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanawaapia wanafiki hawa, enyi Waumini, kwa urongo na ubatili, kwamba wao ni katika nyinyi, wala wao kamwe si katika nyinyi. Lakini wao ni watu waoga, wanaapa kwa kujikinga na nyinyi.