ลงชื่อเข้าใช้
ลงชื่อเข้าใช้
ลงชื่อเข้าใช้
เลือกภาษา

ตัฟซีร: Al-Hajj 22:75

22:75
الله يصطفي من الملايكة رسلا ومن الناس ان الله سميع بصير ٧٥
ٱللَّهُ يَصْطَفِى مِنَ ٱلْمَلَـٰٓئِكَةِ رُسُلًۭا وَمِنَ ٱلنَّاسِ ۚ إِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌۢ بَصِيرٌۭ ٧٥
ٱللَّهُ
يَصۡطَفِي
مِنَ
ٱلۡمَلَٰٓئِكَةِ
رُسُلٗا
وَمِنَ
ٱلنَّاسِۚ
إِنَّ
ٱللَّهَ
سَمِيعُۢ
بَصِيرٞ
٧٥
[75] อัลลอฮฺทรงคัดเลือกบรรดาฑูตจากหมู่มลาอิกะฮ์และจากหมู่มนุษย์ แท้จริงอัลลอฮฺเป็นผู้ทรงได้ยิน ผู้ทรงเห็น
ตัฟซีร
ชั้นต่างๆ
บทเรียน
ภาพสะท้อน
คำตอบ
กิรอต
หะดีษ
Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, Anateua, miongoni mwa Malaika, wajumbe kuwatuma kwa Manabii Wake, na Anateua kutokana na watu, wajumbe wakufikisha jumbe Zake kwa viumbe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia maneno ya waja Wake, Mwenye kuviona vitu vyote na yule anayemteua kwa utume miongoni mwa viumbe Wake. Na Yeye, kutakasika na sifa za upungufu ni Kwake,