And We made them an example and a lesson for those after them.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Tukawafanya hao tuliowazamisha baharini kuwa ni mfano uliotangulia kwa anayefanya matendo kama yao katika wale watakaokuja baada yao kwa kustahiki adhabu, na ni mazingatio na mawaidha kwa watu wa nyuma.