Allah'ın rızasına uyan kimse, Allah'ın hışmına uğrayan gibi midir? Bu kimsenin varacağı yer cehennemdir; o ne kötü varılacak yerdir!
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Yule ambaye lengo lake ni radhi za Mwenyezi Mungu, halingani na yule ambaye ametopea kwenye maasia na kumkasirisha Mola wake na akastahiki kwa hilo makazi ya Jahanamu ambayo mwisho mbaya wa mtu kuishilia ni hapo.