Karun'u, Firavun'u ve Haman'ı da yok ettik. And olsun ki Musa kendilerine belgelerle gelmişti de onlar yeryüzünde büyüklük taslamışlardı. Oysa azabımızdan kurtulamazlardı.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Na tulimuangamiza Qārūn, Fir'awn na Hāmān. Na wote hao Mūsā aliwajia na dalili waziwazi, wakajifanya wakubwa katika ardhi na wakafanya kiburi humo. Na hawakuwa wao ni wenye kutuponyoka, bali sisi tulikuwa tuna uweza juu yao.