"Doğrusu Allah'ın verdiği söz gerçektir, kıyamet saati şüphe götürmez" dendiği zaman: "Kıyametin ne olduğunu bilmiyoruz, yalnız yoktur sanıyoruz, buna dair kesin bir bilgi elde etmiş değiliz" derdiniz.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Na mnapoambiwa, «Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ya kuwafufua watu kutoka kwenye makaburi yao ni kweli, na kwamba kipindi cha kusimama Kiyama ni jambo lisilo na shaka, mnasema, ‘Hatujui ni nini Kiyama? Na hatudhani kuwa kitatokea isipokuwa ni kudhania tu, na sisi si wenye uhakika kuwa kipindi hicho cha Kiyama ni chenye kuja.’»