Onlar çıkarılmış olsalar, and olsun ki, onlarla beraber çıkmazlar; savaşa tutuşmuş olsalar, and olsun ki, onlara yardıma koşmazlar; onlara yardıma gitseler, mutlaka geri dönüp kaçarlar, sonra yardım da görmezler.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Lau Mayahudi watatolewa Madina, wanafiki hawatatoka pamoja na wao, na lau watapigwa vita hawatapigana pamoja na wao kama walivyoahidi. Na lau watapigana pamoja na wao wangalipa mgongo hali ya kukimbia kwa kushindwa, kisha Mwenyezi Mungu Hatawanusuru, bali Atawaacha bila kuwasaidia na Atawadhalilisha.